ZA UKWELI SANA

WEMA SEPETU A.K.A BUTIFUL ONYINYE AU MADAM APATA AJALI!!!!! AUMIA.... TWENDE HAPA.

Wema apata ajali

WEMA Sepetu a.k.a "Beautiful Onyinye" amejikuta katika ajali isiyotarajiwa na hivyo kuanza kutibu jeraha.

Ajali hiyo ilitokea punde tu mrembo huyo aliyeanza kuchuja alipokomenti juu ya urafiki wa Zali na Diamond. INGIA HAPA.

Wema alijibana katika mlango wa gari pale alipokuwa akitoka ukumbini katika hafla iliyoandaliwa na Endless Fame.
CREDITS: mixerevent blog
USIACHA KUSOMA: MWANGA AINGIA KWENYE BASI NA KUUA MTOTO

0 Response to "WEMA SEPETU A.K.A BUTIFUL ONYINYE AU MADAM APATA AJALI!!!!! AUMIA.... TWENDE HAPA."

Post a Comment