ZA UKWELI SANA

AJALI KAZINI???? ROSE MUHANDO KUMZALIA MTOTO DANSA ANAYEMZIMIKIA HIVI KARIBUNI!!!!!

Madai: Rose Muhando mjamzito
Haya ni madai mazito! Mwimbaji nyota wa muziki wa Injili Bongo, Rose Muhando, anadaiwa kutundikwa mimba a.k.a ujauzito unaomfanya hivi sasa kutumia muda mwingi kujificha ndani. Angalia picha hapa.. .

Mtu wa karibu kabisa na Rose alithibitisha juu ya ujauzito huo ambao unawashangaza wengi kwani Mwimbaji maarufu kwa kukemea maovu hana ndoa. Angalia picha hapa.. .

Tiririka mzima mzima hapa

0 Response to "AJALI KAZINI???? ROSE MUHANDO KUMZALIA MTOTO DANSA ANAYEMZIMIKIA HIVI KARIBUNI!!!!!"

Post a Comment