ZA UKWELI SANA

URODA WAMFANYA MWANAMUME KUINGIA MWEZINI!!! SHUHUDIA MATESO YAKE HAPA....

Mwanaume aona siku
MAAJABU! Mwanaume mmoja aliyejitambulisha kwa jina  la Frank Kalamu (53) mkazi wa Ilala Jijini Dar es Salaam, aliyetoa ushuhuda kwamba kwa zaidi ya miaka miwili, alikuwa akipata siku zake kama ilivyo kwa wanawake, ingawa yeye ni kupitia njia ya haja kubwa.
Nabii Yaspi alimtaja aliyemroga jamaa huyo kwa jina la Said. Said aliwahi kumtuhumu Frank kutembea na mchumba wake.
Soma zaidi hapa

0 Response to "URODA WAMFANYA MWANAMUME KUINGIA MWEZINI!!! SHUHUDIA MATESO YAKE HAPA...."

Post a Comment