ZA UKWELI SANA

AJALI MBAYA SINGIDA BASI LA ZUBERI LAFUMUA COSTA NZIMA!!!!


ajali mbaya singida

Bus la Zuberi No. 3 Limegongana uso kwa uso na costa mita chache kutoka Singida mjini. Hakuna aliyetoka kwenye costa na imekwisha  nyang'anyang'a. Hali hii imepelekea waliokua kwenye magari mengine kushuka na  kuokoa majeruhi. Ni ajal i mbaya sana.

0 Response to "AJALI MBAYA SINGIDA BASI LA ZUBERI LAFUMUA COSTA NZIMA!!!! "

Post a Comment