ZA UKWELI SANA

MASKINI ZARI DAKIKA CHACHE TU KABLA YA KUINGIA 2015 ATUBU!!! ...AANGUA KILIO CHA MAJUTO....!!!


Zari aangua kilio
Zari The Bosslady alijikuta akibubujikwa na machozi yaliyotafsiriwa kama ishara ya kutubu makosa yake ya sasa na ya nyuma. Tukio hilo lilikuja kutokana na picha na maelezo aliyopewa kwenye jumba la makumbusho ya Mauaji ya Kimbari nchini Rwanda!
USIACHE KUANGALIA PICHA ZA TUKIO HILI HAPA

WEMA SEPETU A.K.A BUTIFUL ONYINYE AU MADAM APATA AJALI!!!!! AUMIA.... TWENDE HAPA.

Wema apata ajali

WEMA Sepetu a.k.a "Beautiful Onyinye" amejikuta katika ajali isiyotarajiwa na hivyo kuanza kutibu jeraha.

Ajali hiyo ilitokea punde tu mrembo huyo aliyeanza kuchuja alipokomenti juu ya urafiki wa Zali na Diamond. INGIA HAPA.

Wema alijibana katika mlango wa gari pale alipokuwa akitoka ukumbini katika hafla iliyoandaliwa na Endless Fame.
CREDITS: mixerevent blog
USIACHA KUSOMA: MWANGA AINGIA KWENYE BASI NA KUUA MTOTO

SAMANTHA WA BBA APOKEWA NA FAMILIA YA IDRIS KWA MIKONO MIWILI... !!!

Samantha apokelewa na familia ya Idris
KAPATA??? Samantha, mshiriki wa BBA kutoka Afrika kusini ameonekana kuzidi kupaa na kuwarusha mbali vimwana wengine wanaomnyemelea mshindi wa million zaidi ya 300 wa BBA Hostshots 2014 Idris Sultan kwa jinsi anavyozichanga karata.
Samantha alionekana mwingi wa shukrani pale alipopost picha yake akiwa na familia ya Idris ambao walimpa mapokezi ya sukari!!!!
chungulia mapicha ....YA KWANZA. ... YA PILI. ... YA TATU.....

MAPYA HAYAA.... KAMA HUJAZIPATA... WASTARA AMECHOKAAAA...... JIONEE HAPA

Wastara amechoka

Wastara amechoka.... tena choka mbaya..... ndivyo tunaweza kusema kukiwa na mchanganyiko wa habari zinzomhusu kimahusiano.

Muigizaji maarufu wa sinema za kibongo  Wastara Juma baada ya juzikati kufunguka kuwa hana wa kumkuna bongo movie, wakati huohuo yule mpenzi wa enzi wa mrembo huyu Bondia amedai yeye anajiandaa kupeleka mahali kumuoa Wastara.

USIPITWE NA "WASANII WANAKWISHAA... MIAKA 3 TU ILIYOPITA ZAIDI YA 30....'

DIAMOND, ZARI, WAOGA UTITIRI WA PICHA KIGALI RWANDA.....ZARI AFICHUA AIBU ZAKE.....

Diamond, Zari wafunika Rwanda
Yule nguli wa muziki wa kizazi kipya Afrika, Diamond Platinumz na yule mlimbwende afrika Mashariki na Kati Zarina Hassan "Zari" wameendeleza kamchezo kao ka nyomi pale inapotokea wapo pamoja. yaliyojiri Rwanda ingia hapa pamoja na kazi ya ziada ya waandishi ya kuchukua sura hizo adimu.... picha ya 1.... picha ya pili... picha ya 3.. ... picha ya 4.... picha ya 5 .... picha ya 6......

USIACHA KUSOMA: BAADA YA KUKAA SIKU 15 MAJINI MWILI WAKUTWA MZIMA!!!!

AJALI MBAYA SINGIDA BASI LA ZUBERI LAFUMUA COSTA NZIMA!!!!


ajali mbaya singida

Bus la Zuberi No. 3 Limegongana uso kwa uso na costa mita chache kutoka Singida mjini. Hakuna aliyetoka kwenye costa na imekwisha  nyang'anyang'a. Hali hii imepelekea waliokua kwenye magari mengine kushuka na  kuokoa majeruhi. Ni ajal i mbaya sana.

EH! MAKUBWA!!! ... DIAMOND NA KUKURUKA KWOOOOTE HAWEZI KUMJAZA KITU MWANAMKE!!!!!!


Madai: Diamond hana uwezo wa kuzalisha

JAMANI TUNAHITAJI HEWA TUFUNGE MWAKA, KHA!! Huku zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kuumaliza kabisa mwaka 2014 visa zaidi vimeendelaea kuibuka hasa vinavyowahusu wasaniii.
BAADA ya kudaiwa na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa alichoropoa mimba zake mbili, mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kujibu mapigo kwamba mwanamuziki huyo hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba!!!! 

MASKINI WASTARA...!!!! ATENDWA VIBAYA SIKU YA CHRISTMAS!!!!


Wastara asema si ustaarabu mashabiki kumtusi

Msanii maarufu asiye na makuu ndani nan je ya Bongo Wastara Sajuk amefunguka na kudai alichofanyiwa na baadhi ya mashabiki wake siku ya Christmas hakikumpendeza kabisaaa.
Tukio hilo lilitoktea pale Wastara alipopost picha ya kuwatakia mashabiki wake heri ya X-mas kitu ambacho kilizusha malumbano ya kidini na kumkashifu kuwa hana dini. Wastara aliwafungia kibwebwe watu hao alipowaambia mashabiki zake ni wadini zote hivyo ni haki yake kuwa best wishes.

DIAMOND APASUA JIPU: HUWEZI KUKAA NA ZARI USISISIMKE... HANA UDUME NDANI YAKE KAMA ...



Diamond amwagia sifa Zari

Nasib Abdul ‘Diamond Platinumz’ amemwaga ya ndani kabisa ya moyo wake juu ya mwandani wake mpya Zarina Hassan “Zari” kwa kummiminia sifa kali za mapenzi na biashara tofauti na wapenzi wake wa kibongo aliowapiga vijembe.

Akibubujika kama mto wakati wa mafuriko Diamond alimwaga kuwa ukiguswa na Zari lazima “chama kidumu” jionee mengi zaidi hapa ….YA KWANZA…. YA PILI . YA TATU…. YA NNE…. YA TANO YASITA….