ZA UKWELI SANA

MASKINI WASTARA...!!!! ATENDWA VIBAYA SIKU YA CHRISTMAS!!!!


Wastara asema si ustaarabu mashabiki kumtusi

Msanii maarufu asiye na makuu ndani nan je ya Bongo Wastara Sajuk amefunguka na kudai alichofanyiwa na baadhi ya mashabiki wake siku ya Christmas hakikumpendeza kabisaaa.
Tukio hilo lilitoktea pale Wastara alipopost picha ya kuwatakia mashabiki wake heri ya X-mas kitu ambacho kilizusha malumbano ya kidini na kumkashifu kuwa hana dini. Wastara aliwafungia kibwebwe watu hao alipowaambia mashabiki zake ni wadini zote hivyo ni haki yake kuwa best wishes.

0 Response to "MASKINI WASTARA...!!!! ATENDWA VIBAYA SIKU YA CHRISTMAS!!!!"

Post a Comment