ZA UKWELI SANA

MAPYA HAYAA.... KAMA HUJAZIPATA... WASTARA AMECHOKAAAA...... JIONEE HAPA

Wastara amechoka

Wastara amechoka.... tena choka mbaya..... ndivyo tunaweza kusema kukiwa na mchanganyiko wa habari zinzomhusu kimahusiano.

Muigizaji maarufu wa sinema za kibongo  Wastara Juma baada ya juzikati kufunguka kuwa hana wa kumkuna bongo movie, wakati huohuo yule mpenzi wa enzi wa mrembo huyu Bondia amedai yeye anajiandaa kupeleka mahali kumuoa Wastara.

USIPITWE NA "WASANII WANAKWISHAA... MIAKA 3 TU ILIYOPITA ZAIDI YA 30....'

0 Response to "MAPYA HAYAA.... KAMA HUJAZIPATA... WASTARA AMECHOKAAAA...... JIONEE HAPA"

Post a Comment